Tuesday, November 26, 2013

How to disable Last Seen on WhatsApp Messenger(Jinsi ya kutoa "Last seen" Kwenye WhatsApp Messenger)

Mara kwa mara kumekua na usumbufu mwingi kuhusiana na "last seen", last seen imesababisha matukio mengi hasa kwa watu walio kwenye uhusiano. Mara nyingi mtu huona ni muda  gani rafiki yake/mchumba wake ameacha kuonekana online, hivyo wakati mwingine kuleta mzozo.


                             



   Kuna njia mbili za kufanya ili kutoa last seen kwenye whatsapp.

             Kwa kutumia application (kwa watumiaji wa Android SmartPhone)

Kuna application inaitwa last not seen hii huzui WhatsApp kuupdate status yako. Application hii haipo bado kwenye store ya google (play store) hivyo itakulazimu utafute package yake na udownload package yake (apk) kwa kuitafuta kwenye google.


                                                      Inafanyaje kazi?


Hii huzuia internet connection mara tu unapolaunch application ya WhatsApp, hivyo servers za WhatsApp haziwezi kuupdate muda ambao umesoma meseji ya mwisho.

1. Download na uiinstall hiyo application  https://app.box.com/s/lxf9m0eq6m7pc4drvdqb  .
 (Nimekusaidia link yake hapo)
2. Fungua application yako utaona vibox vitatu tick box lililoandikwa block last seen .

Sasa fungua application yako ya WhatsApp, utagundua kua internet yako imekata automatically, mara tu utakapotoka WhatsApp huduma ya internet itarudi kama kawaida.





                 Bila kutumia application (Manually disable Last Seen on WhatsApp)

1.  Zima internet connection yako.
2. Fungua application yako ya WhatsApp, soma meseji zote na utume meseji unazotaka kutuma.
3. Funga application yako na washa internet yako. Mara tu utakaporuhusu internet connection Whatsapp itasync na servers na itatuma message zote ulizoziandika bila server kutambua ni wakati gani umesoma na kutuma meseji hizo.
             

                              Kwa watumiaji wa iPhone

Ni rahisi sana kwa watumiaji wa iPhone kutoa last seen 
nenda settings>>Advanced>>Last seen Timestamp na uizime hiyo timestamp


Kwa watumiaji wa blackberry,windows phone na Symbian phones wanaweza fanya hivyo kwa kutumia manual disable last seen kama nilivyoelezea hapo juu.


By Nteminyanda Godfrey S.
UNIVERSITE MENTOURI DE CONSTANTINE - CONSTANTINE, ALGERIA.

OMBI: Acha comment kama nimekusaidia katika tatizo hili

Sunday, November 17, 2013

HOW TO ROOT YOUR SAMSUNG GALAXY S3, NOTE 2 AND S4 USING SAMSUNGS TOOL KIT



The good thing about android Operating System is that you can perform customization and optimization of your device. We love the stock android but sometimes we need to experience something new like running Ubuntu OS on your android gadget, flashing custom ROMs, performing terminal commands which most of them need root access,running different applications which need a root access. in fact you cant just change the shape and color of your phone but you can change anything related to software. I am a student of software eng. and my hobby is playing with gadgets so for rooting is something inevitable. Some one could ask me  what is the term rooting mean and what are benefits of rooting, the simple answer is, rooting is the process of unlocking your device from factory settings, having all control of your phone, most manufacturers lock their devices so as to protect users from flashing or performing some customization, so its like you are being controlled what to do with your device, but android as an open source platform allows you to unlock your phone and play as an administrator of your own device.

    There so many ways on how you can root your phone, but using Samsung's toolkit for a specific  version and model of your phone you can find it so simple to root your device especially for beginners.  This method is more safe and it is so difficult to brick your device so long as you follow better the instructions.
toolkit is comprised of all necessary files i.e Odin, Samsung usb drivers etc and it has got all instructions to follow about rooting, unrooting, flashing custom recovery etc
1. First you have to download a particular toolkit suitable for your device.
2.Make sure you know your build number of your device as mistaking can lead to brick your device.
 Below i will put links of all three toolkits so that you can download them and root your device.

[TOOLKIT] Galaxy S4 Toolkit - xda-developers



DISCLAIMER:  I take no responsibility for any fault or damage caused by any procedures within this guide. No warranties of any kind are given.


Nteminyanda Godfrey

Software eng.
Constantine, Algeria.